The Lagos State Police Command has revealed why the report on the investigation of the death of Nigeria singer, Ilerioluwa Aloba, popularly known as Mohbad, is not out. The command revealed that it had not received the report of the autopsy conducted on Mohbad from the pathologists.
The state Police Public Relations Officer, Benjamin Hundeyin, in an interview with Punch, said it would not do guesswork in the investigation of the death of Mohbad. Read More...
Lucy Chepkorir anazuiliwa kutokana na kifo cha afisa huyo na uchunguzi unasubiri matokeo ya upasuajiIliripotiwa kuwa konstebo Kurgat alikuwa ameenda kutembea kwa Chepkorir na saa chache baadaye akafariki duniaChepkorir alikuwa na kesi nyingine ya uvunjaji wa sheria na sasa kisa cha afisa huyo kimefanya amulikwe zaidiPolisi Nakuru wanachunguza tukio ambapo mmoja wao alifariki dunia saa chache baada ya kutoka katika nyumba ya kipusa fulani.
Kisa hicho kilitokea katika kituo cha polisi cha Olenguruone ambapo konstebo David Kurgat alifariki dunia saa chache baada ya kumtembelea Lucy Chepkorir. Read More...